Ratiba ya Kombe la Muungano 2026, Ratiba Kamili ya Robo Fainali, Nusu Fainali na Fainali 2026: Yanga SC, Simba SC na Azam FC Kupambana Kusaka Ubingwa

Mashindano yanaingia katika hatua za mwisho zenye ushindani mkubwa, ambapo timu mbalimbali zinajiandaa kwa vita ya kuwania taji. Ratiba robo fainali, nusu fainali na fainali imeonesha mwelekeo wa michuano hii, huku vilabu vikubwa kama Yanga SC, Simba SC na Azam FC vikitarajiwa kuwa na ushindani mkali dhidi ya wapinzani wao.

Ratiba ya Kombe la Muungano 2026

Ratiba ya Robo Fainali

Hatua ya robo fainali itaanza kwa michezo minne muhimu itakayochezwa kwa siku tofauti:

  • Aprili 21; Saa 1:15 usiku
    Yanga SC vs Muembe Makumbi City
  • Aprili 22; Saa 1:15 usiku
    KVZ FC vs Azam FC
  • Aprili 23; Saa 10:15 jioni
    Mlandege FC vs Singida BS
  • Aprili 23; Saa 2:15 usiku
    Simba SC vs Mafunzo SC

Ratiba ya Kombe la Muungano 2026

Ratiba ya Nusu Fainali

Washindi wa robo fainali watakutana katika hatua ya nusu fainali kama ifuatavyo:

  • Aprili 25; Saa 2:15 usiku
    KVZ / Azam FC vs Yanga SC / Muembe Makumbi
  • Aprili 26; Saa 2:15 usiku
    Mlandege / Singida BS vs Simba SC / Mafunzo

Ratiba ya Fainali

  • Aprili 29; Saa 2:15 usiku

Ratiba hii inaonesha wazi kuwa mashindano yanaelekea katika hatua ya kilele yenye mvuto mkubwa. Ushindani unatarajiwa kuwa mkali katika kila hatua, hadi kufikia fainali itakayochezwa Aprili 29.

Pendekezo la Mhariri:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *